jinsi ya kuanzisha kampuni

Wabunifu Blog JINSI YA KUANDAA MPANGO BIASHARA …

 · Menejimenti na Utawala Mfumo wa biashara kama ni ya mtu mmoja ubia au kampuni chora chati ya mtiririko wa madaraka wasifu wa maofisa wa ngazi za juu mathalani Mkurugenzi Mtendaji na wakurugenzi wengine idadi ya wafanyakazi kwa sasa mpango wa ukuaji au kuongezeka kwa wafanyakazi mfumo wa umiliki kama ni kampuni weka mchanganuo wa hisa za kila mmliki kama ni …

Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania 22

 · Kampuni inapaswa kuandaa hesabu zilizokaguliwa na kujaza fomu maalumu ambayo inawasilishwa TRA si zaidi ya Juni 30 ya kila mwaka ikionyesha mapato ya kampuni kwa mwaka uliokwisha Desemba 31 ya mwaka uliopita Hesabu hizo zinapaswa kuonyesha kiwango cha kodi inayolipwa kwa kila mwaka na faida uliyopata katika biashara

JINSI YA KUANZISHA KAMPUNI

JINSI YA KUANZISHA KAMPUNI Ni ukweli usiofichika kuwa biashara na ujasirimali kwa pamoja vimekua kwa kiwango kikubwa hapa nchini Yote hii inatokana na sababu nyingi ikiwemo ya kukua kwa biashara za kimataifa maendeleo ya mawasiliano marekebisho ya baadhi ya sera za nchi na sababu nyinginezo Kwa hakika hali yote hiyo imesababisha ugumu kwa wajasiriamali wanaofanya biashara zao nje ya

Msaada jinsi ya kuendesha kampuni

 · Msaada jinsi ya kuendesha kampuni Thread starter Webb Start date Oct 14 2022 Webb JF Expert Member Oct 4 2022 425 1 000 Oct 14 2022 #1 Wakuu mimi elimu yangu ni kidato cha 6 nina mpango wa kuanzisha kampuni yenye mtaji wa million 3 Biashara sio mpya bali naongeza mtaji na kuifanya kampuni Process baadhi nazijua za kwenda BRELA TRA na kwa MWANASHERIA …

Jinsi ya Kuwekeza Katika Kuanzisha Tech na Kupata Faida

 · Jinsi ya kupata kuanza kuanzisha kuwekeza Kabla ya kuendelea na kuwekeza katika uanzishaji wa teknolojia unahitaji kufanywa uelewe na labda uwe sawa na maarifa ambayo huwezi kurudisha pesa zako Unaweza kuzamisha pesa zingine katika uanzishaji wa teknolojia inayoonekana faida na usione pesa zako tena Hiyo ilisema tutapata kutafuta huduma hizi za teknolojia Kuanzisha …

Fursa Za Biashara Na Miradi Ambazo

 · Kuanzisha kampuni ya ujenzi Building contractor 33 Kuuza Vifaa vya umeme wa nishati ya jua solar battery inverter na vifaa vingine vya solar 34 Kuuza maji kwa jumla na rejaleja 35 Kutengeneza na kuuza Unga wa lishe bora 36 Kukodisha Music 37 Kuanzisha Mradi wa Taxi 38 Kuanzisha mradi wa Daladala 39 Kuuza vifaa vya Kompyuta laptops converters HDDs Monitors …

NSHOMEKE ULYEKE NAMNA YA KUANZISHA BIASHARA

 · Mambo ya muhimu ya kutekeleza kisheria kabla ya kuanzisha biashara ni a Kuwa na ofisi b Kukata leseni c Kusajiliwa na TRA kama mlipokodi na kupewa namba ya mlipakodi d Kufanyiwa makadirio ya kodi ya mapato ya awali e Kutimiza masharti mengine ya keshiria kuwa mfano kama wewe unataka kufanya biashara ya ukandarasi wa ujenzi wa majengo lazima usajiliwe kwenye Bodi ya …

Jinsi Ya Kuanzisha Kampuni

jinsi ya kuanzisha kampuni Jinsi ya Kuingiza Taarifa za Kampuni Kwenye Jinsi ya Kuanzisha na Kuendesha Biashara ya Madini Business Ideas on Hatua 10 Rahisi za Kusajili Kampuni Kupitia Website ya BRELA Taratibu za Kufuata Katika Kusajili Kikundi Kikoba Elimu ya Biashara Ujasiriamali na Uongozi on Namna Bora ya Kuandika Katiba ya

Jinsi ya kuingiza kampuni ya pwani katika Anguilla

 · Anguilla ndio marudio bora kuingiza kampuni na kufungua akaunti za benki kwani inatoa huduma mbali mbali za pwani bila ushuru kwa wasio wakaazi na kampuni za kimataifa Anguilla ndio kisiwa kikuu cha Visiwa vya Anguilla katika Bahari ya Karibiani Ni sehemu ya eneo la Uingereza la Ng ambo Inachukuliwa kama uwanja wa ushuru […]

Mamlaka ya Mapato Tanzania

Shirika kampuni yenye dhima ya ukomo Kuanzisha shirika kunahitaji mtu aombe kupatiwa Hati ya shirika kutoka Mamlaka ya Usajili wa Biashara na Leseni BRELA Wahamasishaji wa kampuni wanatakiwa kuandaa na kuwasilisha hati na Mkataba na kanuni za kampuni Hati ya usajili wa shirika iambatishwe kwenye maombi ya TIN pamoja na Mkataba na Kanuni za Kampuni wakati mtu …

JINSI YA KUPATA MTAJI NA KUANZISHA DUKA LAKO LA DAWA

 · Ni hatari kuchukua mkopo na kuanzisha biashara ila haya maisha sometimes bila kujilipua hutoboi ng o Anza biashara ndogo kwa lengo la kukuza mtaji kisha iuze au ibadili kuwa biashara yako kubwa Kama una Tsh 5 000 000 anza na duka la dawa muhimu sehemu yenye biashara nzuri Baada ya miaka 3 hadi 5 mtaji wako utakuwa umekua hata zaidi ya Tsh 22 000 000 network uzoefu na hivyo

Jinsi ya kupata wazo la biashara Sehemu ya kwanza

Watu wengi wamekutana na changamoto hii ya kupata wazo la biashara kiasi ambacho wamekuwa wakitamani kufanya biashara lakini hawajui ni biashara gani haswa wanapaswa kufanya Napenda kukukaribisha kwa moyo mkunjufu katika kusoma makala hii ambayo nitaeleza kwa uchache baadhi ya njia za kupata wazo la biashara au kuanzisha Kampuni